Sunday 12 July 2015

SAMIA HASSAN SULUHU ATEULIWA KUWA MGOMBEA MWENZA NA DK. JOHN MAGUFULI


Samia-Suluhu
Baada ya ushindi wa Dk. John Magufuli ametoa shukrani zake kwa wote waliofanikisha ushindi wake na kisha akamteua aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Katiba lililomalizika hivi karibuni Samia Suluhu kuwa mgombea mwenza

0 comments:

Post a Comment