Saturday 16 January 2016

Necta » Tazama Hapa Matokeo ya Kidato cha Pili 2015/16


Baraza la mitiani NECTA limetangaza Matokeo ya kidato cha 2 kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka jana ambapo wanafunzi 324,068 sawa na 89% kati ya wanafunzi 363,666 waliofanya mtihani wamefaulu kuendelea na kidato cha tatu.

0 comments:

Post a Comment