Thursday 14 January 2016

Edward Lowassa Atangaza kugombea tena Urais Mwaka 2020, asisitiza yupo fiti

Akiongea na wafanyabiashara wa kariakoo waliomtembelea ofisini kwake mikocheni, Lowassa amesema safari ndio kwanza imeanza na yupo fiti kwa mapambano.
Amewataka wanamabadiliko kutokukata tamaa 
Amesisitiza kama alivyoshinda uchaguzi huu ndivyo atakavyoshinda mwaka 2020.

0 comments:

Post a Comment