Sunday 19 October 2014

Ukweli kuhusu Ngono kwa njia ya haja kubwa a.k.a TIGO



Watu ambao wanajishughulisha na kushiriki katika ngono ya nia hii ya kinyume namaumbile wapo katika hatari kubwa ya kiafya, kwa sababu njia ya haja kubwa inazungukwa na mishipa/neva nyingi sana zipo eneo hilo ambalo kazi zake si maalumu kwa tengo la ngono kwa kuingiziwa kitu ambacho hakistahiri eneo hilo.
Ambapo kwa utafiti uliofanyika Nchini Tanzania uliohusisha wasichana na wanawake wa rika kuanzia miaka 15 na kuendelea na iliyohusisha kada tofauti katika jamii kama wanafuzi, wafanyakazi, wahudumu wa baa, wauguzi, makahaba na kina mama wa majumbani katika maeneo tofauti. Watu waliojitokeza ni 903 wakiwemo pia wanaume walihusika katika tafiti hiyo.
Utafiti huo ulisema wanawake 44 kati ya 166 waliohojiwa walisema kuwa wamewahi kufanya tendo la kujamiiana kinyume na maumbile ambao ni sawa na asilimia 27 huku asilimia 73 ya waliohojiwa walidai kufahamu njia hiyo ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile, katika Utafiti huo ulifanywa na Irene Mremi kutoka Taasisi ya utafiti wa magonjwa ya binadamu Nchini Tanzania.
>ENDELEA HAPA<


0 comments:

Post a Comment