Showing posts with label BURUDANI. Show all posts
Showing posts with label BURUDANI. Show all posts

Friday, 26 February 2016

Staa wa muziki Mzungu Kichaa Awadiss Wema Sepetu na Idris Sultan


Staa wa muziki Mzungu Kichaa, amevunja
ukimya kuligusia suala ambalo pengine
linawaumiza wasanii wengi, ikionekana
kuwa ni 'diss' pia kwa staa Wema Sepetu
na mwenzake Idriss Sultan, kupitia suala
lao la ujauzito kunasa na kutoka.
Akiongea kwa hisia nzito, Mzungu Kichaa
ambaye ana project kubwa ya video
ambayo watu hawaifahamu kama
wanavyofahamu mimba ya Wema, msanii
huyo anayejinadi kuwa ni mbishi,
ameelezea kusikitishwa kwake kwa
mastaa hao ambao wanatumia muda wao
mwingi kuleta atensheni kwa mashabiki
badala kufanya shughuli zao binafsi za
kila siku.
Mzungu Kichaa pia amekanusha suala la
video yake kukosa kiki kutokana na
kumhusisha Dir Adam Juma ndani yake,
na kuifanyia hapa hapa nchini akisema
kuwa Dir Adam ana kila


Friday, 19 February 2016

P-Square Separates???: Peter Okoye To Go Solo After Paul Took Side With Elder Brother, Jude



Psquare
One half of the P Square duo, Peter Okoye has given a slight hint that their pop group, P-Square has separated.
Reacting to his brother’s Instagram post yesterday where he sided with their brother/manager, Jude Okoye (February 17) Peter Okoye has now wished Paul Okoye well in his future endeavours.
And cutting me off from a picture and replacing me with a studio set says it all my bro. All because you want to sound matured And letting the pple insult and Laff at me. Peter Okoye the social media rant. I wish you well in all you do my bro. God bless our hustle .     #voice4thevoiceless” wrote Peter Okoye.
A photo of Paul Okoye and Jude Okoye had been shared with Peter Okoye cut off in the picture.
It was the same picture that Paul Okoye shared on Instagram when he declared his support for Jude Okoye.
Yesterday Paul Okoye picked a side in the Okoye family feud by supporting his older brother Jude Okoye who has managed them since inception.
Paul Okoye’s show of support for Jude Okoye pushed Peter Okoye to make more allegations against his manager-brother.
With Peter’s latest declaration the future of Psquare now hangs in the balance. It is now more than likely that Peter Okoye will not record with his brother again.
This is the second time in two years that the P-Square brand has been involved in a public rift of sorts.
It was reported that Peter Okoye refused to do anything with P-Square because he reportedly felt his input and contributions were not being seriously considered

Friday, 29 January 2016

New: Moses Radio and Weasel – “Mwana Wabsandi” (Official Video)


Kundi la wasanii maarufu kama “Goodlyfe Crew” lililopo nchini   Uganda linaloundwa na Moses Radio and Weasel, limeachia video mpya ya wimbo ambao unaitwa “Mwana Wabsandi” video Directed by Frank Jah So take your time to watch the video here in our website then after stay on for other new update, coz bado tunaendelea kukujuza zaidi welcome again and Enjoy with us together

Thursday, 28 January 2016

NEW VIDEO: Di’ja ft BabyFresh – Take Kiss

Mavin Records female singer – Di’Ja opens her account in 2016 with “Take Kiss” featuring fellow label mate BabyFresh, production credit goes to Don Jazzy.

  Enjoy and kindly share your thoughts below...

Tuesday, 19 January 2016

Mama Kanumba: Lulu Umenichosha, Uniache

Lulu-michaelStaa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’
Dar es Salaam: Bifu jipya! Kwa mara nyingine, baada ya kurushiana vijembe kwa muda mrefu, mama mzazi wa aliyekuwa stadi wa sinema za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’, Flora Mtegoa amemuonya staa wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuwa amemchosha kwa vijembe mitandaoni hivyo anamuomba amuache.
NI KATIKA MAHOJIANO MAALUM
Katika mahojiano maalum na Ijumaa Wikienda, mama Kanumba alisema Januari 7, mwaka huu ilikuwa ni ‘bethidei’ yake ya kutimiza umri wa miaka 60, ikiwa ni siku moja tu kabla ya ile ya Kanumba (Januari 8) hivyo kwa umri huo hataki kuendekeza mabifu na Lulu aliyekuwa mwandani wa mwanaye kabla ya kukutwa na umauti Aprili 7, 2012.
Mama Kanumba alifunguka kuwa anamshukuru Mungu kwa kumaliza mwaka 2015 lakini hawezi kuusahau mwaka huo kutokana na mambo aliyomfanyia Lulu ambayo hapendi kuyakumbuka.
mama_kanumbaFlora Mtegoa “Mama Kanumba.”
MAMA KANUMBA LAIVU
“Kwa sasa nina umri wa miaka 60, ni mara tatu ya umri wa Lulu. Sitaki tena malumbano na Lulu kwani amenichosha na ninachowaombeni mwaambieni aniache.
KISA VIJEMBE MTANDAONI
“Lulu ni mtoto mdogo sana kwangu, mara kwa mara huwa anaposti (kutumbukiza) vijembe mtandaoni akinikejeli kwa kuwa anajua situmii mitandao ya kijamii lakini ndugu zangu huwa wananiambia kunionesha kila kitu.
“Ninachomuomba akome hiyo tabia ya kunisakama mitandaoni, kama ameamua kuvunja ukaribu na mimi aache kunidharua japokuwa mimi nilimsamehe kwa moyo mmoja lakini hajathamini hilo.
“Lakini yote kwa yote namshukuru Mungu mwaka 2015 ulivyoisha maana ni mwaka ambao Lulu alinibadilikia na kuanza kunikosea heshima.
MAUMIVU ZAIDI
“Hakuna kitu kilichoniumiza kama siku aliposti mwanaume mmoja akisema kuwa huyo ndiye mtu wake wa karibu ni wazi kuwa hicho kilikuwa kijembe kwangu.
“Pia kitendo cha kutohudhuria kumbukumbu ya kifo cha Kanumba pamoja na kwamba nilimuomba na alikubali kiliniumiza mno.
AJUTA KUMSAMEHE
“Niliwaza sana kuwa ni Lulu huyuhuyu aliyenifuata akanipigia magoti na kuniomba msamaha juu ya mwanangu nami nikamsamehe kwa moyo mmoja? Wakati mwingine hata najuta kumsamehe.
“Lulu anapaswa kuangalia vitu vya kuandika mitandaoni au anyamaze kimya kwa sababu anatakiwa kujua kuwa kuna kesi ya msingi haijaisha.
“Vizuri akakumbuka kuwa bado mimi nina maumivu na chozi la kifo cha mwanangu linanitoka hivyo asiendee kunichokonoa,” alifunga mjadala mama Kanumba.
LULU ANASEMAJE?
Kama ilivyo sheria ya gazeti hili kutafuta mzani wa habari, mwanahabari wetu alimtafuta Lulu kisha kumsomea tuhuma zake kutoka kwa mama Kanumba alizungumza kwa kifupi kisha akakata simu:
“Sina cha kuzungumza kuhusu hilo kama kweli huyo mama (mama Kanumba) angekuwa na shida na mimi angenipigia mwenyewe au angeniambia nimpigie.”
TUMEFIKAJE HAPA?
Kanumba alifariki dunia Aprili 7, 2012 kwa kuanguka katika mazingira yaliyodaiwa kutokana na ugomvi kati yake na Lulu. Tukio hilo lilitokea nyumbani kwa Kanumba, Sinza ya Vatcan, Dar.
Baada ya kifo hicho, Lulu alikamatwa na kuwekwa Mahabusu ya Segerea jijini Dar na baadaye kuachiwa kwa dhamana.
Baada ya kutoka mahabusu, Lulu na mama yake, Lucresia Karugila walimfuata mama Kanumba na kuomba msamaha ambapo mama huyo aliupokea na kusema anamwona Lulu kama mtoto wake na yote ya nyuma yamepita.
Kuanzia hapo, Lulu na mama Kanumba wakawa na ukaribu wa kindugu huku kila mwaka wakifanya kumbukumbu ya Kanumba pamoja kabla ya mwaka jana kutibuana na sasa hali ni tete.

Monday, 18 January 2016

Magazeti ya Leo » Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya Januari 19, Ikiwemo ya Lowassa Kutamba Kuwa Mtaiona Dar ya Ukawa


Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya Januari 19, Ikiwemo ya Lowassa Kutamba Kuwa Mtaiona Dar ya Ukawa

Saturday, 16 January 2016

Idriss Sultan Amtusi Diamond, Ajitapa Mtaani Kuwa yeye ni Kidume Aliyeweza Kumpa Mimba Wema


 Hii dharau! Siku chache baada ya staa wa Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ kudaiwa kushika ujauzito ambao mhusika bado ni fumbo, balaa limezuka kufuatia Mshindi wa Big Brother Africa Hotshots 2015, Idris Sultan kudaiwa kumtusi zilipendwa wa mrembo huyo, Mbongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond’, Risasi Jumamosi linakujuza.
TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika, Idris amekuwa akijitapa mitaani kuwa yeye ndiye kidume aliyeweza kumpa mimba Wema na kwamba ni daktari bingwa wa magonjwa sugu, yakiwemo ya uzazi kwani kwake kunapatikana tiba mbadala.
Majigambo hayo yanadaiwa kuharibu urafiki uliokuwepo baina ya wawili hao, kwani Diamond anachukulia kama ni kumtusi kwa vile aliwahi kujihusisha kimapenzi na Wema kwa muda mrefu bila kupata ujauzito.
KAMA KUNA URAFIKI NI KIINI MACHO
“Kitu ambacho watu hawaelewi ni kwamba hivi sasa urafiki wa Diamond na Idris ni kiini macho tu, kwani majivuno ya Idris ya kutoka na Wema yameleta uhasama mkubwa, hasa baada ya kujigamba kuwa ameweza kumpa ujauzito.
“Inadaiwa juzikati Idris akiwa na Wema sehemu, rafiki zake wakawa wanampongeza kwa taarifa zilizosambaa kuwa yeye ndiyo amemdunga mimba mrembo huyo ambapo kijana huyo alisikika akisema hakuna mwanamke asiyezaa duniani, isipokuwa kinachotokea ni kuto-match (kuendana) kwa damu za wawili. Eti kwa kitendo hicho yeye ndiye kidume cha mbegu,” kilisema chanzo hicho.
OMMY DIMPOZ NAYE ATAJWA
Ommy Dimpoz ambaye ni rafiki wa karibu wa Diamond, naye anatajwa kuwemo katika watu wanaompiga vijembe kwa kufurahia kitendo cha Idris kumjaza mimba Wema kwa kile kinachosemwa kuwa wawili hao wana ka-bifu ka chini kwa chini, kisa kikiwa siri yao.
“Ommy Dimpoz naye ni miongoni mwa watu wanaosapoti kwa asilimia kubwa Idris kumpachika mimba Wema na kwamba anaonesha wazi kuunga mkono kila kitu kinachofanywa na kijana huyo katika kumuumiza Diamond kupitia mimba hiyo.”
DIAMOND ANASA UBUYU
Habari zinasema kuwa maneno yaliyokuwa yakitembea katika kundi la Idris yalimfikia staa huyo wa muziki wa kizazi kipya nchini, ambaye alisikitishwa na kitendo cha kuonekana kama hakuwa na uwezo wa kumpa mimba Wema, akitamka kuwa wanaomsema hivyo hawajui jinsi yeye na Wema walivyokuwa wakiishi kimapenzi.
IDRIS HUYU HAPA, MSIKIE
Baada ya kumegewa ubuyu huo, juzi paparazi wetu alimtafuta mshindi huyo wa BBA aliyejishindia dola 300,000 (zaidi ya shilingi milioni 500) na kubahatika kukutana naye ana kwa ana katika eneo moja, nje kidogo ya jiji.
Alipoulizwa kuhusu ukweli wa madai ya kumtusi rafiki yake huyo, huku akichekacheka, Idris alishindwa kufunguka moja kwa moja, badala yake akasema hategemei kuja kuwa na tatizo na Diamond kwa sababu ya ujauzito wa Wema, hasa kwa kuwa tayari ana mtoto (Tiffah) aliyempata kwa mpenzi wake, Zarinah Hassan ‘Zari’.
“Diamond hawezi kuwa na mawazo hayo kwani haoni tatizo lolote kwangu kuwa karibu na Wema, hata nikizaa naye, kwa sababu uhusiano wao ulishamalizika.
“Hata hivyo hayo yatabaki kama madai. Mimi kuitwa kidume itatokana na namna waitaji watakavyokuwa wamenichukulia. Ila kiukweli sidhani kama kuna mtu anaweza kuja kuninunia kisa Wema maana suala la uhusiano au kuwa karibu na mtu inategemea tu na watu wenyewe jinsi wanavyoweza kuchukuliana na kuwaziana.”
KUANIKA KUHUSU MIMBA YA WEMA
“Suala la mimba ya Wema nitakuja kuliweka vizuri baada ya mwezi mmoja. Kwa sasa niache kwanza maana nina mambo mengi ya kufanyia kazi, sitaki kabisa kuanza kuvuruga mudi za watu na ndiyo maana naona hakuna haja kwa muda huu kuongelea ishu hiyo ila yasemwayo yanaweza kuwa na maana kama yameelezewa vizuri,”
DIAMOND NAYE HUYU HAPA
Gazeti hili lilifanikiwa pia kumnasa mkali wa kibao cha Utanipenda? Diamond ambaye baada ya kuelezwa kilichopo alisema kwa sasa hana muda wa kusikiliza maneno ya watu wala kujibu kila anachosikia, zaidi anahangaikia maisha yake ili kuweza kufikia ndoto alizojipangia kwa vile maneno yapo kila siku na hayaepukiki.
“Dah! Mimi sioni kama kuna kitu cha ajabu wala kuzungumzia hapo, zaidi naweza kusema mimi sina muda tena wa kuanza kuzungumzia mtu ila kila mmoja atabeba mzigo wake.
“Kwa sasa nawaza kukuza muziki wangu kwa namna moja au nyingine, siwezi kuendelea kuwawazia watu wakati mwenyewe nina mambo mengi ya kujiwazia,” alisema Diamond.
Source:Global Publishers

Friday, 15 January 2016

Miss Tanzania Ataka Namba ya Simu ya Mbwana Samatta


MSHIRIKI wa Miss Tanzania 2005 ambaye pia ni mcheza fi lamu, Maureen Gislary ameibuka na kutaka namba ya simu ya mchezaji wa timu ya Taifa Stars na Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo,Mbwana Samatta kwa gharama yoyote.
Akizungumza na Amani Sports, Maureen aliyekuwa kumi bora katika kinyang’anyiro hicho cha Miss Tanzania kilichoshuhudiwa kwa Nancy Sumari kuibuka mshindi alisema kuwa, nia ya kuhitaji namba hiyo nikuhakikisha anamuweka Samatta ‘kibindoni’ kabla hajatimkia nje ya nchi.
“Kwanza nimefurahishwa sana na ushindi wake wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani mwaka 2015, mwenye namba yake tafadhalini naiomba kwa gharama
yoyote nitatoa,” alisema Maureen.

Wednesday, 13 January 2016

Studio ya Music ya 'The Industry' Inayoongozwa na Producer Nahreel Yamtangaza Rasmi Msanii Mpya wa Kike Aliyejiunga Nao


THE INDUSTRY MUSIC LABEL

TAARIFA KWA UMMA

UTAMBULISHO WA MWANAMUZIKI MPYA WA STUDIO YA MUZIKI YA “THE INDUSTRY”


Uongozi wa Studio ya Muziki ya The Industry iliyoko chini ya Wanamuziki Producer Nahreel na Aika Marealle unapenda kuchukua Nafasi hii kuwatangazia Umma Kuwa kuanzia Tarehe 14 January 2016 Wamemuingiza Msanii mpya wa Kike aitwaye Rosa Ree, Rose Ree ni muimbaji wa Muziki aina ya Rap ambae kazi zake zitaanza kusikika/Kuonekana siku si nyingi kuanzia sasa katika Redio Mbali mbali na TV Stations za Tanzania na nje ya nchi.

Kama wasikilizaji na watazamani tunaomba Kumuunga mkono Msanii huyu mpya Kwani tuna uhakika hatawaangusha katika kuwaletea burudani Katika Masikio na macho yenu pindi kazi zake zitakapoanza kutolewa hivi karibuni.
Instagram anajulikana kwa jina la @rosa_ree

The Industry ni studio na kampuni ya muziki ambayo ipo chini ya kundi la music lenye Mafanikio makubwa la Navy Kenzo ikisimamiwa na Producer Nahreel na msaidizi wake Aika Marealle

Wasanii Baadhi Waliokwisha fanya kazi na Studio ya The Industry mpaka sasa toka kuanzishwa kwake hivi karibuni ni Diamond Platnumz na wimbo wake wa Nana, Nikki wa Pili na wimbo wa Baba Swalehe, Joh Makini na nyimbo zake kama Don’t Bother na nusu nusu.

Imetolewa na,
The Industry PR
John Kiandika

Tuesday, 12 January 2016

Kwa Hili la Samatta, Serikali Inafanya Double Standards...Mbona Diamond Hajawahi Fanyiwa Sherehe wala Kupewa Zawadi na Serikali?

Wapendwa wanajukwaa na watanzania kwa ujumla, ni dhahiri kwamba sote tunapenda kuona nchi yetu ikisonga mbele kitaifa na kimataifa katika michezo na sanaa mbalimbali. Tumeshuhudia baadhi ya vijana wetu wakifanya vinzuri kimataifa na kuiletea heshima tele nchi yetu.

Sasa pamoja na heshima hii nina jambo ambalo naliona hakika halijakaa sawa na pengine linaleta picha mbaya kwa wananchi kuanza kudhani labda ni michezo au sanaa za aina fulani tu ndizo ambazo serikali inazithamini. Ni wiki iliyopita ambapo tumeshuhudia mchezaji wa soka Mbwana Samatta akitangazwa kuwa mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza ndani ya Afrika. Tumeshuhudia namna serikali ilivyomtembeza mtaani kama kumpongeza kwa tuzo aliyopata. Leo hii muda huu Vodacom na serikali wameandaa hafla ya kumpongeza kwenye Hotel ya Hyat Regend. Kwa mujibu wa posts zinazowekwa na Vodacom katika mtandao wa instagram ni kwamba Samatta amepewa zawadi na serikali pesa taslim na kiwanja huko Kigamboni. Napongeza kwa hilo ni jambo jema hasa katika kutia moyo.

Sasa hoja yangu inakuja hapa, je serikali inayatambua mafanikio ya mpira wa miguu peke yake na si sanaa zingine pia? Nasema hivi nikichukulia mfano Diamond Platinumz. Hakuna mtu asiyetambua mafanikio aliyopata Diamond katika muziki kiasi cha kuiletea heshima kubwa nchi yetu katika Afrika na dunia nzima kwa ujumla. Mbali na tunzo nyingi alizopata Diamond katika Afrika hii, ameweka historia ya kuwa msanii wa kwanza Afrika kushinda tunzo ya dunia inayotolewa na MTV. Ni msanii aliyewafanya waafrika na dunia kwa ujumla waanze kujifunza na kukielewa kiswahili hasa kutoka na nyimbo zake kutumia kiswahili na hata katika nyimbo anazoshirikishwa nazo anaimba kwa kiswahili. Ni msanii aliyefanya soko la mziki wa Tanzania likabadilika hasa katika suala la malipo wanayopewa wasanii katika matamasha na shoo wanazoalikwa. Ni mwanamuziki pekee wa Tanzania aliweza kuzivuta media za kimataifa kama BBC, Aljazeera na CNN kuweza kufanya naye interview.

Pamoja na mafanikio yote hayo hakuna hata kiongozi mmoja aliyediriki kumpa hongera Diamond kwa tunzo kubwa ya Dunia aliyoipata. Nimejiuliza sana na kudhani labda michezo na sanaa zinazothaminika na serikali ni mpira wa miguu tu

Mazito Yaibuka Ndoa Mpya ya Wastara...Ndugu wa Marehemu Sajuki Waangua Kilio

HAYA ni mazito! Nyuma ya shughuli ya kuolewa kwa staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma na Mbunge wa Jimbo la Donge, Zanzibar, Sadifa Juma iliyofungwa Alhamisi iliyopita, kuna matukio ya kustaajabisha ambayo Ijumaa Wikienda limeyabaini.

Ndoa hiyo iliyofungwa kimyakimya, ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita nyumbani kwa mwigizaji huyo, Tabata-Barakuda, jijini Dar ambapo ilihudhuriwa na watu wachache tofauti na ilivyotarajiwa kutokana na umaarufu wa wanandoa hao.

NDOA ILIFUNGWA KWA SIMU
Imebainika kuwa, awali ndoa hiyo ilikuwa ifungwe saa kumi jioni na baadaye kuelezwa ilisogezwa mbele hadi saa 12 jioni, hata hivyo haikufungwa muda huo baada ya bibi harusi kuchelewa kufika akitokea saluni alikoenda kupambwa na kulazimika shehe afungishe ndoa hiyo kwenye simu wakati Wastara akiwa kwenye foleni barabarani.

BWANA HARUSI AGOMA KUPIGWA PICHA
Imeelezwa kuwa, baada ya bwana harusi kutinga na wapambe wake alitoa onyo kali huku likisisitizwa na wapambe wake kuwa hairuhusiwi kupiga picha na kutuma kwenye mtandao wowote wa kijamii kwa vile ndoa hiyo ilikuwa ya siri.

AGOMA KUMFUNUA BIBI HARUSI
Katika hali ya kushangaza, baada ya bibi harusi kuwasili aliingizwa katika chumba maalum kwa ajili ya kumsubiri mumewe na hata alipoingia ndani, shehe alimuomba amfunue mkewe ili kumhakikisha kama ndiye yeye kitu ambacho alikipinga na kudai hakuwa na shaka naye na kuomba waendelee na kitu kingine.

WASTARA ASHINDWA KUPATA MSOSI
Jambo lingine ambalo lilizua minong’ono ni Wastara kushindwa kupata muda wa kula chakula ambacho kiliandaliwa kwa sababu baada ya kumaliza kupiga picha za familia na kushikana mkono na mumewe, mumewe alimtaka waondoke huku akimwambia dereva wao awashe gari.

WADOGO WA SAJUKI WALIA
Katika hali ambayo haikuweza kufahamika mara moja, wadogo wa aliyekuwa mumewe wa pili wa Wastara, merehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’, Mohamed Kilowoko na Njegere Kilowoko waliangulia kilio kwa kile walichodai walikuwa na huzuni na furaha.

Friday, 8 January 2016

habari zilizopo kwenye magaazeti ya leo

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi Ya Januari 9, Ikiwemo Jide na Namless Wazua Gumzo Picha yao ya Mahaba yatua Kwa Gadner


Thursday, 29 October 2015

NEW VIDEO: Davido - DODO

DavidoDodo

Davido wastes not time dropping the visuals to his widely accepted new single Dodo off his forthcoming album B.A.D.D.E.S.T.

Amazing video directed by Adasa Cookey; very creative and humorous. Davido’s new album will be released very soon, so keep your ears and eyes out for the release date.

Watch video beloew;

Tuesday, 20 October 2015

Vanessa Mdee amesema msanii kushinda Tuzo nyingi haimaanishi kuwa anafanya vizuri sana


Mshindi wa Tuzo ya Afrimma ‘Best Female East Africa’ Vanessa Mdee amesema msanii kushinda Tuzo nyingi haimaanishi kuwa anafanya vizuri sana.
Vee Money ameyasema hayo wakati anafanya mahojiano na kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo alimtolea mfano Wizkid, Alisema
 “Msanii kuwa na Tuzo, kwa mfano tumuangalia WizKid ana tuzo chache, lakini muziki wake unafanya vizuri dunia nzima, Drake anamtafuta, Swizbeat anamtafuta, Alicia Keys ana mtafuta na ratiba yake iko busy mwaka mzima, So haijalishi”

NEW VIDEO: Timaya ft. Don Jazzy – I Concur

Crazy Davido Fans Tattoos His Face On His Chest

Well, if this isn’t the craziest Davido fan, then I don’t know how much worse this could get.

Davido shared a photo yesterday (October 18) of a fan who has massive tattoo of him on his chest; the fan has a tattoo of the pop star’s face on his chest including his famous HKN chain.
SHOUT OUT AWON FANS MI!!! FOR THE LOVE OF DAVIDO! FIND THIS GUY FOR ME” wrote Davido in the caption of the picture.
Fans getting tattoos of Nigerian pop stars is slowly on the rise, in June this year, a fan of pop singer Sean Tizzle tattooed the artiste’s name on his wrist.
Last year a Kenyan fan tattooed Ice Prince’s name on her arm, also, May D’s girlfriend has two tattoos of him

Sunday, 30 August 2015

Jose Mourinho warns Chelsea players to improve or risk sack

Chelsea players' reaction after Joel Ward's winner for Crystal Palace on Saturday
Chelsea players' reaction after Joel Ward's winner for Crystal Palace on Saturday
Jose Mourinho has hinted that some of his Chelsea squad may soon find their Stamford Bridge careers are over.
The Blues boss says he will make changes to his squad in the wake of their poor start to the Premier League season.
Chelsea lost 2-1 at home to Crystal Palace on Saturday and have just four points from their first four games of the season - a tally which leaves them 13th in the table and eight points off the pace set by league leaders Manchester City