Showing posts with label michezo. Show all posts
Showing posts with label michezo. Show all posts

Thursday, 25 February 2016

Manchester United vs FC Midtjylland 5-1 2016 All Goals & Highlights

https://youtu.be/sNNu77LynCc


Manchester United vs FC Midtjylland 5-1 2016 All Goals & Highlights


Wednesday, 24 February 2016

dynamo kiev vs Manchester city

https://youtu.be/eb99uwDgwno


man city yatoa kichapo  dhifi ya dynamo kiev,magoli yamefungwa na aguero,silva na  yaya toure


Monday, 8 February 2016

Kwa Mara ya Kwanza Kocha Jose Mourinho Aongelea Kuhusu Kurudi Uwanjani Kufundisha Baada ya Kufukuzwa Chelsea

Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu kwa kocha wa zamani
wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho, February 7 karudi
kwenye headlines na kauli mpya baada ya kutokuwa tayari
kuzungumzia soka, Jose Mourinho ameamua kuzungumzia
soka ikiwa ni wiki sita zimepita toka afukuzwe kazi na
Chelsea.
Jose Mourinho ambaye amekuwa akihusishwa kujiunga na
Man United ili arithi nafasi ya Louis van Gaal alikuwa hayupo
tayari kuzungumzia soka, ila kwa sasa amekubali
kulizungumzia hilo na kukiri kuwa yupo karibu kurudi kazini
hivi karibuni, licha ya kuwa wengine huwa wanamtafsiri kama
jeuri, lakini yeye anasema ni mtu wa kawaida na anajifunza
popote.
“Siku zote nimekuwa nikijifunza hata katika sehemu
ambayo najihisi ni mtaalam, siku zote mimi sio
mkamilifu na nimekuwa nikijifunza kila siku, wakati
mwingine katika kazi na hata maisha binafsi, narudi
karibuni katika soka sehemu ambayo nahisi ni maisha
yangu ya asili” Jose Mourinho


Monday, 18 January 2016

Magazeti ya Leo » Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya Januari 19, Ikiwemo ya Lowassa Kutamba Kuwa Mtaiona Dar ya Ukawa


Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne Ya Januari 19, Ikiwemo ya Lowassa Kutamba Kuwa Mtaiona Dar ya Ukawa

Friday, 15 January 2016

Miss Tanzania Ataka Namba ya Simu ya Mbwana Samatta


MSHIRIKI wa Miss Tanzania 2005 ambaye pia ni mcheza fi lamu, Maureen Gislary ameibuka na kutaka namba ya simu ya mchezaji wa timu ya Taifa Stars na Klabu ya TP Mazembe ya DR Congo,Mbwana Samatta kwa gharama yoyote.
Akizungumza na Amani Sports, Maureen aliyekuwa kumi bora katika kinyang’anyiro hicho cha Miss Tanzania kilichoshuhudiwa kwa Nancy Sumari kuibuka mshindi alisema kuwa, nia ya kuhitaji namba hiyo nikuhakikisha anamuweka Samatta ‘kibindoni’ kabla hajatimkia nje ya nchi.
“Kwanza nimefurahishwa sana na ushindi wake wa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani mwaka 2015, mwenye namba yake tafadhalini naiomba kwa gharama
yoyote nitatoa,” alisema Maureen.

Tuesday, 12 January 2016

Kwa Hili la Samatta, Serikali Inafanya Double Standards...Mbona Diamond Hajawahi Fanyiwa Sherehe wala Kupewa Zawadi na Serikali?

Wapendwa wanajukwaa na watanzania kwa ujumla, ni dhahiri kwamba sote tunapenda kuona nchi yetu ikisonga mbele kitaifa na kimataifa katika michezo na sanaa mbalimbali. Tumeshuhudia baadhi ya vijana wetu wakifanya vinzuri kimataifa na kuiletea heshima tele nchi yetu.

Sasa pamoja na heshima hii nina jambo ambalo naliona hakika halijakaa sawa na pengine linaleta picha mbaya kwa wananchi kuanza kudhani labda ni michezo au sanaa za aina fulani tu ndizo ambazo serikali inazithamini. Ni wiki iliyopita ambapo tumeshuhudia mchezaji wa soka Mbwana Samatta akitangazwa kuwa mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza ndani ya Afrika. Tumeshuhudia namna serikali ilivyomtembeza mtaani kama kumpongeza kwa tuzo aliyopata. Leo hii muda huu Vodacom na serikali wameandaa hafla ya kumpongeza kwenye Hotel ya Hyat Regend. Kwa mujibu wa posts zinazowekwa na Vodacom katika mtandao wa instagram ni kwamba Samatta amepewa zawadi na serikali pesa taslim na kiwanja huko Kigamboni. Napongeza kwa hilo ni jambo jema hasa katika kutia moyo.

Sasa hoja yangu inakuja hapa, je serikali inayatambua mafanikio ya mpira wa miguu peke yake na si sanaa zingine pia? Nasema hivi nikichukulia mfano Diamond Platinumz. Hakuna mtu asiyetambua mafanikio aliyopata Diamond katika muziki kiasi cha kuiletea heshima kubwa nchi yetu katika Afrika na dunia nzima kwa ujumla. Mbali na tunzo nyingi alizopata Diamond katika Afrika hii, ameweka historia ya kuwa msanii wa kwanza Afrika kushinda tunzo ya dunia inayotolewa na MTV. Ni msanii aliyewafanya waafrika na dunia kwa ujumla waanze kujifunza na kukielewa kiswahili hasa kutoka na nyimbo zake kutumia kiswahili na hata katika nyimbo anazoshirikishwa nazo anaimba kwa kiswahili. Ni msanii aliyefanya soko la mziki wa Tanzania likabadilika hasa katika suala la malipo wanayopewa wasanii katika matamasha na shoo wanazoalikwa. Ni mwanamuziki pekee wa Tanzania aliweza kuzivuta media za kimataifa kama BBC, Aljazeera na CNN kuweza kufanya naye interview.

Pamoja na mafanikio yote hayo hakuna hata kiongozi mmoja aliyediriki kumpa hongera Diamond kwa tunzo kubwa ya Dunia aliyoipata. Nimejiuliza sana na kudhani labda michezo na sanaa zinazothaminika na serikali ni mpira wa miguu tu

Friday, 8 January 2016

habari zilizopo kwenye magaazeti ya leo

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumamosi Ya Januari 9, Ikiwemo Jide na Namless Wazua Gumzo Picha yao ya Mahaba yatua Kwa Gadner


Sunday, 30 August 2015

Jose Mourinho warns Chelsea players to improve or risk sack

Chelsea players' reaction after Joel Ward's winner for Crystal Palace on Saturday
Chelsea players' reaction after Joel Ward's winner for Crystal Palace on Saturday
Jose Mourinho has hinted that some of his Chelsea squad may soon find their Stamford Bridge careers are over.
The Blues boss says he will make changes to his squad in the wake of their poor start to the Premier League season.
Chelsea lost 2-1 at home to Crystal Palace on Saturday and have just four points from their first four games of the season - a tally which leaves them 13th in the table and eight points off the pace set by league leaders Manchester City

Tuesday, 25 August 2015

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 25 Agosti

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 25 Agosti


















Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 25 Agost