Taarifa zinasema alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake,Mbezi Beach, Dar.
Polisi walifika haraka eneo la tukio. Hakuna madhara yaliyoripotiwa, pia hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na tukio hilo.
Pole pole ambaye ni mwanachama wa CCM alikuwa mwiba kwa serikali na chama hicho akiipinga juu ya kufinyangwa kwa baadhi ya vipengele vya katiba mpya chini ya CCM lakini katika siku za hivi karibuni amebadilika na kuanza kushambulia upande wa upinzani juu ya kupata mgombea urais ambaye ni Edward Lowassa hali iliyomwongezea marafiki na maadui
0 comments:
Post a Comment