Tuesday 25 August 2015

john makini kutoa video mbili kwa pamoja,cheki hapa akiwa na rapa wa afrika kusini aka,hivi ni vipande vya video zao.cheki hapa.....

Kama unawafollow Joh Makini na G nako kwenye mitandao ya kijamii  basi utakua umeshaona picha mbalimbali wakiwa Afrika kusini ambazo bila shaka zinaonesha kuwa wanashoot video.
Mdogo wa Joh Makini ambaye pia ni member wa kundi la weusi,Nikki wa pili ameweka wazi kuwa wasanii hao tayari wamekamilisha video mbili, moja ni ya G nako inaitwa “Original” na nyingine ni collabo kubwa ya Joh makini na msanii wa Afrika kusini Aka ambayo inaitwa “Dont bother”

11371277_396233057242302_1001090335_n
11925670_903096329737078_1507720401_n
11925840_896122883788747_1693845601_n
11821119_1609709415949187_1581297285_n
nyeusi
nyeyyy
joooooh
JoH

0 comments:

Post a Comment